Search

528 results for Juma Issihaka :

  1. Baada ya mvua sasa Kimbunga Hidaya, fanya mambo haya kwa usalama wako

    Baada ya mfululizo wa mvua kwa takriban miezi saba, baadhi ya mikoa nchini inatarajiwa kukumbwa na kimbunga Hidaya kwa siku tano mfululizo.

  2. Changamoto tisa wafanyakazi wakiadhimisha Mei Mosi

    Kwa mujibu wa Tucta, kuwepo kwa changamoto hizo kunakwaza ari na shauku ya ufanyaji kazi miongoni mwa wafanyakazi nchini, ikisisitiza Serikali ichukue hatua kuleta suluhu.

  3. Waajiri wakumbushia punguzo kodi ya ujuzi

    Kodi ya SDL hulipwa na kampuni kwenye mshahara ghafi wa kila mfanyakazi, ambayo kwa sasa imefikia asilimia 4.5.

  4. Makonda ajizuia kuzungumza akihofia ‘kulikoroga’ mbele ya Dk Mpango

    “Hapa nitayakoroga mambo Mheshimiwa Makamu wa Rais uniruhusu niseme matatu, ukiwa na furaha sana unaweza ukajikuta unasema mambo mengi,” amesema.

  5. Wanasheria Tanzania wapewa ujuzi kukabili uhalifu mtandao

    Serikali ya Tanzania na Russia zimejizatiti kushirikiana katika kujengeana uwezo na uzoefu wa kisheria katika kukabili uhalifu wa mtandao na ugaidi

  6. Rais Samia, viongozi Afrika wataka mikopo nafuu

    Amezitaka taasisi hizo kurahisisha masharti ya mikopo ili nchi za Afrika zijiinue kimaendeleo

  7. PRIME Hizi hapa sababu za maporomoko ya tope, mbinu za kuyaepuka

    Mwanazuoni asema kuna uwezekano mkubwa wa matukio hayo kujirudia katika maeneo yalikotokea.

  8. Majaliwa ataka ufugaji wa kisasa, kilimo chapigiwa chapuo

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekitaka Chama cha Wafugaji Tanzania kutoa elimu ya ufugaji kwa wanaojishughulisha na sekta hiyo ili waifanye kitaalamu.

  9. Bakwata kulinda rasilimali zake kidijitali

    Kabla ya matumizi ya mifumo hiyo, Baraza hilo lilikabiliwa na changamoto lukuki katika urasimishaji wa rasilimali zake na wakati mwingine kushindwa kudhibiti ubadhilifu.

  10. Rais Samia atabiri 2030 Tanzania kuwa na CDF mwanamke

    Rais Samia amesema katika onyesho la Paradushi mwaka huu, limejumuisha askari wa kike tofauti na miaka yote

Page 1 of 53

Next